News

Alihamia huko akiwa mtoto ambapo kisha akawa raia. Inamaanisha kuwa yeye - kama maelfu ya Warusi wengine nchini Ukraine - sasa yuko katika hali mbaya ya kisheria. "Unapoonyesha hati zako ...
Katika siku za hivi karibuni, Warusi wameongeza kwa kiasi kikubwa kasi na ukubwa wa mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani huko Kyiv na miji mingine ya Ukraine. Takriban kila usiku ...
Warusi wamemuandalia maziko makubwa rais wao wa kwanza Boris Yeltzin hii leo wakihudhuria kiongozi wa taifa la Urusi Vladimir Putin ,rais wa shirikisho la jamhuri ya Ujerumani Horst Köhler ...
Utafiti uliofanywa na shirika huru la utafiti nchini Urusi unaonyesha kuwa nusu ya waliohojiwa wanaunga mkono usitishaji wa mapigano nchini Ukraine huku asilimia 41 wakipinga. Shirika la Levada ...
Rais wa Urusi Vladmir Putin amesema kuwa haja ya kutumia silaha za nyuklia nchini Ukraine haijajitokeza, na anatumai kwamba ...